Home
Notification
Profile
Trending Articles
News
Bookmarked and Liked
History
Creator Center
Settings
Kasonso-Cryptography
--
Follow
Which Token are you Watching Today?
GEMS
22%
SHIBA INU
28%
PEPE
44%
SAHARA
6%
18 votes • Voting closed
Disclaimer: Includes third-party opinions. No financial advice. May include sponsored content.
See T&Cs.
441
0
Explore the latest crypto news
⚡️ Be a part of the latests discussions in crypto
💬 Interact with your favorite creators
👍 Enjoy content that interests you
Email / Phone number
Sign Up
Login
Relevant Creator
Kasonso-Cryptography
@Kasonso
Follow
Explore More From Creator
Soft Staking Opportunity: [Benefits That You Need To Know] Binance Users Only🚀
--
Bitcoin is expected to reach around $110,000 today or tomorrow. $BTC
--
ELON MUSK: 🔍 Graph Overview
--
🚨 BREAKING: Elon Musk Confirms Bitcoin Support in American Party Vision! 🚨
--
😳😢WATANZANIA HUTUMIA 1% YA AKILI ZAO: [MWAKA 2023 GAZETI HILI LILIANDIKA]📈 2 HABARI Watanzania hutumia asilimia moja ya akili zao NA NEEMA NIVAMAMBA IMEELEZWA kuwa asilimia kubwa ya Watanzania hutumia asilimia moja tu ya akili zao katika maisha ya kila siku. Rai hiyo imetolewa jana Mkurugenzi wa Taasisi ya Maji na Mazingira Mkoani Morogoro, Mussa Maganga alipokuwa akitoa elimu ya mazingira kwa kikundi cha vijana, wanafunzi na wananchi wa kata ya Kihonda katika stendi ya Waislamu mjini hapa kuhusu matumizi ya akili katika maisha ya kila siku. Alisema binadamu wengi hawatumii akili zao kikamilifu kwa sababu ya kushindwa kupanga vizuri maisha yao na kutumia muda mwingi katika kufanya mambo yasiyo ya msingi hali inayosababisha kushindwa kufikia malengo waliyojiwekea. Pia alisema binadamu ana hali kubwa sana ya uwezo wa kufikiri lakini wengi hushindwa kuitumia hali hiyo katika maisha yao ya kila siku hali inayosababisha kukumbwa na matatizo mbalimbali. Kauli hiyo aliitoa wakati akizungumza na vijana katika maonesho ya mazingira yaliyofanyika kuanzia Septemba 22 na 23 mwaka huu, yaliyofanyika stendi ya Waislamu, Kihonda mjini hapa yakihusisha kikundi cha vijana kutoka maeneo mbalimbali. Hata hivyo Maganga alibainisha kuwa moja ya sababu kubwa ya hali hiyo ni mtindo wa maisha Kipuuzi kwa baadhi ya Watanzania ambao hushindwa kutumia muda wao kwa mipango endelevu katika maisha yao. Alisema katika maonesho hayo zaidi ya vijana 1,300 walitembelea banda la taasisi hiyo wakitoka katika Wilaya sita ikiwemo, Kilombero, Ulanga na Temeke. Anza Safari Yako Ya Sarafu Mtandao
--
Latest News
Binance Alpha to List Tanssi Network (TANSSI)
--
South Korea to Include Cryptocurrency Firms in Venture Business Support
--
GameSquare Secures $8 Million for Ethereum Investment Strategy
--
Binance to Update Monitoring and Seed Tags for Selected Tokens
--
U.S. National Debt Reaches Record High of $36.58 Trillion
--
View More
Trending Articles
$BTC pumped after clearing the lower side liquidity and now
DeCrypto TokenTalks
As of today, I can confidently say that even if we have 10 b
Farrah Depetris qTix
THE FINAL BOUNCE BEFORE THE BLOODBATH.
Xmeta4
Learn this simplest method of trading cryptocurrencies, and
Square-Creator-14f57d253
XRP Insiders Dump $68M Daily—Smart Money Exit from the Dust
Saloocrypto
View More
Sitemap
Cookie Preferences
Platform T&Cs